Thursday, 24 February 2011

Rais Dk Jakaya Kikwete arejea Nchini leo







Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika ,mazungumzo na Makamu wa Rais Dr.Mohamed Gharib Bilal(watatu kushoto),Waziri mkuu Mizengo Pinda(wanne kushoto) pamoja na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam  leo jioni akitokea nchini Ivory Coast ambapo alishiriki katika juhudi za kutatua mgogoro wa kisiasa nchini humo.
(Picha na Freddy Maro) 

No comments:

Post a Comment