Thursday, 24 February 2011

MAANDAMANO YA CHADEMA YANAYOENDELEA MUDA HUU JIJINI MWANZA ..

Chama cha maendeleo na demokrasia nchini CHADEMA leo kimefanya maandamano ya amani katika jiji la Mwanza kupinga kupinga mchakato wa uchaguzi na matokeo ya Meya wa Jiji la Arusha, kuunga mkono maandamano yaliyofanywa na chama hicho mkoani Arusha Januari 5, mwaka huu na kupinga zoezi la serikali kulipa deni la Dowans.








No comments:

Post a Comment