Tuesday, 22 February 2011

Maalim aendelea na ziara UAE

Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad
akihutubia watanzania wanaoishi Dubai






Mwenyekiti wa chama cha Watanzania UAE  Bwana Mohammed Shariff
 akimkabidhi Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad
Zawadi ya Tshirt na kofia kama ishara ya Uanachama wake katika chama hicho.

No comments:

Post a Comment