Saturday, 25 December 2010

Mtoto wa Mkulima akiwa shambani kwake



Si mwengine ni Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Mizengo Pita Kayanza Pinda akiwa shambani kwake Kibaoni kwa maandalizi ya kupanda Mahindi akitumia wakati wa mapumziko ya xmas na mwaka mpya.

Picha na Mdau Chris Mfinanga

No comments:

Post a Comment