Monday, 17 June 2013

Serikali yasema mlipuko uliotokea Arusha ni bomu la kutupwa kwa mkono
Serikali imesema imesema mlipuko uliotokea katika katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo jijini Arusha na Kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi zaidi ya 70 ni bomu la kutupwa kwa mkono .


No comments:

Post a Comment