Kheri yote inapatikana pale Mwenyezi Mungu anaporidhika na mja wake, na funguo za kheri zimo katika Dua pamoja na unyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu na kuonesha kumpenda kwa kutenda yale yanayomridhisha na pia kumuogopa kwa kuepukana na makatazo yake.
Mja anapokabidhiwa na Mola wake funguo hizi basi ajue kuwa Mola wake anamtakia kheri, na anaponyimwa basi ajue kuwa amefungiwa milango ya kheri
Serikali imesema imesema mlipuko uliotokea katika katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo jijini Arusha na Kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi zaidi ya 70 ni bomu la kutupwa kwa mkono .
No comments:
Post a Comment