Wednesday, 9 November 2011

RAIS DK. SHEIN AKUTANANA NA BALOZI WA JAPAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mophamed Shein,akizungumza na Balozi wa Japan Nchini Tanzania,Mhe Masaki Okada,alipofika ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mophamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Japan Nchini Tanzania,Mhe Masaki Okada,alipofika ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais,

No comments:

Post a Comment