Rais Kikwete akutana na Waziri Mkuu wa Australia

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakisalimiana na Waziri Mkuu wa Australiua Julia Gillard mjini Perth wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Madola unaoendelea mjini Perth, Australia
No comments:
Post a Comment