Malkia Elizabeth II wa Uingereza na Mumewe Philip Wakiwakaribisha Rais Dkt.Jakaya Kikwete, Mama Salma na wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola katika dhifa aliyoiandaa kwaajili ya viongozi hao wanaohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Perth,Australia
Wake wa viongozi wakuu wa mkutano wa nchi wanachama wa jumuia ya madola wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mkutano uliofunguliwa na Malkia - 0ct- 28-2011. Watano kutoka kushoto na mke wa rais Mama Salma Kikwete
Wake wa viongozi wakuu wa mkutano wa nchi wanachama wa jumuia ya madola wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mkutano uliofunguliwa na Malkia - 0ct- 28-2011. Watano kutoka kushoto na mke wa rais Mama Salma Kikwete
No comments:
Post a Comment