Monday, 31 October 2011

UZINDUZI WA TAWI LA PBZ PEMBA



Rais Dk. Shein azindua tawi jipya la Benki ya PBZ chakechake Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi wa chake chake kisiwani pemba wakati wa uzinduzi wa tawi la Benki ya PBZ,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi la Benki ya PBZ huko Chake chake Pemba,(kushoto) Mkurugenzi wa PBZ Juma Amour na (kulia) Kaimu Waziri wa Fedha Mhe,Mwinyihaji Makame





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitoa pesa kutoka huduma ya ATM mara baada ya kulizindua Tawi jipya la PBZ humo chake chake Pemba



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akionyesha pesa alizotoa kupitia mtandao wa ATM





Baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa Tawi la bank ya Watu wa Zanzibar PBZ Wilaya ya chake chake Pemba.

No comments:

Post a Comment