Rais Dk. Shein azindua tawi jipya la Benki ya PBZ chakechake Pemba



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitoa pesa kutoka huduma ya ATM mara baada ya kulizindua Tawi jipya la PBZ humo chake chake Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akionyesha pesa alizotoa kupitia mtandao wa ATM

Baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa Tawi la bank ya Watu wa Zanzibar PBZ Wilaya ya chake chake Pemba.
No comments:
Post a Comment