Sunday, 3 July 2011

 "Balozi wa Tanzania nchini Uingereza akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Jumuiya ya ZAWA-UK. Mkutano ulifanyika siku ya Jumamosi, 2 July 2011, hapo ofisi ya Ubalozi – London"

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Jumuiya ya ZAWA-UK. Mkutano ulifanyika siku ya Jumamosi, 2 July 2011, hapo ofisi ya Ubalozi – London

Viongozi wa Jumuiya ya ZAWA - UK kutoka kushoto Mwenyekiti Bw Hassan Mussa, Naibu Katibu Bw Ahmed Seif, Mjumbe Bibi Furjan Massoud
Viongozi wa Jumuiya ya ZAWA - UK kutoka kushoto Mwenyekiti Bw Hassan Mussa, Naibu Katibu Bw Ahmed Seif, Mjumbe Bibi Furjan Massoud


viongozi wa Jumuiya ya ZAWA-UK wakimsikiliza Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Bw Peter Kallaghe, wakati wa kikao cha pamoja baina ya taasisi mbili hizi.
viongozi wa Jumuiya ya ZAWA-UK wakimsikiliza Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Bw Peter Kallaghe, wakati wa kikao cha pamoja baina ya taasisi mbili hizi.

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Bw Peter  Kallaghe akiwa katika picha ya pamoja viongozi wa Jumuiya ya ZAWA-UK. Mkutano ulifanyika siku ya Jumamosi, 2 July 2011, hapo ofisi ya Ubalozi - London

No comments:

Post a Comment