Bi Rahma hatunae tena
Tunasikitika kuwatangazia kifo cha Bi Rahma Mshangama, Katibu Mkuu Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zanzibar kilicho tokea leo hii na Maziko yatafanyika Mwembeshauri baada ya Sala ya Ijumaa. Mwenyeenzi Mungu amlaze pema peponi Amiin
No comments:
Post a Comment