Spika wa Bunge Mhe Anna Makinda akikabidhi Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu Utaratibu na Bunge Mhe William Lukuvi hundi ya Tshs millioni 37,80
leo hii kwenye kituo cha kupokea misaada ya walio athirika na mabomu,
Fedha hizo zimetolewa na Wabunge kwa kuwasaidia Wananchi walio athirika
na mabomu Na kulia Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar er saalam Mhe Said Mecky Sadiq

Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba akimkabidhi Kaimu Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam msaada wa vyakula vyenye thamani ya shs milioni moja na laki nane
Kulia ni Mkuu wa Wilaya Ilala Mhe Leonidas Gama na kushoto Mkuu wa Wila ya Kinondoni
Mhe Jordan Lugimbana
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Haruna Lipumba akibeba kipolo cha Unga
kwa ajili ya kukabithi msaada kwa waathirika wa maafa ya Gongola mboto
yaliyo tolewa na chama chake.
Naibu Katibu Mkuu wa chadema Mhe Victor Kimesela akikabidhi msaada
wa mashuka 166 kwenye kituo cha Ofisi ya Mtendaji Ukonga
Wake wa viongozi wakiwakilisha misaada kwa niaba ya wake wa viongozi wenzao
kwa kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kwa walio athirika na mabomu
kutoka kulia kamanda wa kanda maalum wa Dar es salaam
Suleiman Kova na kaimu Mkuu wa Mkoa Mhe Sadiq Mke wa Waziri Mkuu
Tunu Pinda na Mke wa Makamo wa Rais Asha Bilal
No comments:
Post a Comment