Thursday, 5 September 2013

Matokeo ya Vurugu za bungeni leo 05/09/13

                     

BAADHI YA TASWIRA ZA BUNGENI LEO MJINI DODOMA NA VURUGU ZILIZOTOKEA



IMG_0014
 
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma  Septemba 5, 2013.

IMG_0017
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi akiteta na Mwanaheria  Mkuu wa Serikali, Frederick Werema, bungeni Mjini Dodoma Septemba 5, 2013.

IMG_0032
 
Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai akimwamuru Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kukaa chini, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5, 2013.

IMG_0037
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi  akifafanua jambo Bungeni Mjini Dodoma

IMG_0064
 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Bumbumbuli na Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia, January Makamba, Bungeni Mjini Dodoma


IMG_0069
 
 Wabunge wa Chadema wakiwa wamesimama kukaidi amri ya Naibu spika, Job Ndugai ya kuwataka wakae chini ,

IMG_0073
 
IMG_0104
 
 IMG_0119
 
 IMG_0124
 
Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma
 
IMG_0131
 
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka Bungeni mjini Dododma baada ya kuamriwa kufanya  hivyo na Naibu Spika wa  Bunge, Job Ndugai Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)




 
 

No comments:

Post a Comment