Friday, 1 June 2012

L & B Hospital Kufunguliwa June 4


Hii ndiyo Hospitali Mpya ya L&B iliyopo eneo la Chukwani karibu na kituo cha mwisho cha Daladala na Jirani na Chuo Kikuu cha Chukwani. Inafunguliwa rasmi tarehe 4 June 2012 na itatoa huduma za out patient pamoja na huduma zote za uzazi - Maternity Wing

L&B ina lengo la kutoa huduma anazostahiki mgonjwa kupewa kama mgonjwa kwa mujibu wa hali yake na kujali maslahi yake (Value for Money). Iko chini ya Daktari bingwa wa mambo ya uzazi Gynacologist Dk Otta J Lymo na Dk Hakim Bilal ambaye kwa sasa ndiye mkuu wa Chuo cha Afya Mbweni.

Kwa mahitaji yote ya afya pamoja na mambo ya uzazi mnakaribishwa L&B Hospital Chukwani

No comments:

Post a Comment