Saturday, 21 April 2012


Mwenyekiti wa muwaza Dk Yussuf Salim afariki dunia

Innaa Lillaahi Wainnaa Ilayhi Raajiuun - Dr Yussuf Saleh Salum Mwenyekiti wa Muwaza Hatunaye Tena


Kwa niaba ya Jumuiya ya MUWAZA, Tunasikitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti wetu na Mzee wetu Dr. Yussuf Saleh Salim kilichotokea huko Copenhagen - Denmark

Habari zaidi za mazishi tutakutaarifuni zaidi.

No comments:

Post a Comment