Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimuaga Mhe Zitto Kabwe Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wakati alipomtembelea katika Hospitali ya Muhimbili ambako amelazwa kwa Matibabu Baada ya kuugua.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimfariji na kumpa pole Mhe Zitto Kabwe wakati akiwa amelala katika wodi ya Hospital ya Muhimbili.
No comments:
Post a Comment