Monday, 18 April 2011

MKUTANO WA SIKU MBILI WA UWEKEZAJI AFRIKA WAANZA LEO DAR


Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Uwekezaji Afrika, leo katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara Jumuia ya Madola Dk. Mohan Kaul, akizungumza katika mkutano huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Injinia Emmanuel Ole Naiko, akizungumza katika mkutano huo.


RAIS wa Burundi Pierre Kurunziza ambaye ni Mwenyekiti wa wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki, akifungua mkutano huo.


Washiriki wakiwa kwenye mkutano huo

No comments:

Post a Comment