Sunday, 27 February 2011

Shein aadhimisha siku 100 madarakani









Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein, akitoa shukrani zake kwa wanachama wa chama chake wa mikoa mitatu ya Unguja, kwa kumchagua kuwa rais katika uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita. Hii ilikuwa ni jana, 26 Februari 2010

No comments:

Post a Comment