
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Seif Iddi akimkabidhi msaada
wa Nguo kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Leondas Gama kwa ajili ya Wananchi waliopata madhara
ya mripuko wa mabomu huko Gongolamboto hivi karibuni.
MKUU wa Wilaya ya Ilala Leondas Gama akitowa shukrani kwa Msaada wa Wake wa
Wawakilishi na Wabunge kwa kujali hali ya Wananchi wezao waliopata madhara ya miripuko ya mabomu
Baadhi ya Wabunge na Wake wa Wawakilishi na Wabunge wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ilala
Leonidas Gama akitowa maelezo ya madhara ya wananchi walioathirika na miripuko
ya mabomu Gongolamboto
No comments:
Post a Comment