Friday, 11 March 2011

DK SHEIN AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNICEF IKULU








RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akisalimiana na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (Unicef) Tanzania Bi Dorothy Rozga  na picha juu akizungumza na mwakilishi huyo wa Unicef Ikulu Zanzibar leo.

No comments:

Post a Comment